Алфавитный указатель

Аккорды к песне ​Ucho Gun — Somo

Шрифт
13
Тональность
0
Прокрутка
0
 
for easy: key "-3" 
 
whole song: Cm G# D# Gm 
 
|Intro| 
Cm G# D# Gm 
Maxi. 
Yeah. 
Genie X Double Six. 
 
|Verse 1| 
              Cm          G# 
Sema now yeah sina cha kupoteza. 
D#           Gm 
Kwa mana muda tadini nishopoteza. 
 Cm           G#     D#     Gm 
Kilichobaki ni kujiongeza. 
 Cm          G# 
Sina kupoteza. 
D#            Gm 
Kama muda tadini nishopoteza. 
 Cm           G#     D#     Gm 
Kilichobaki ni kujiongeza. 
Yeah. 
 
|Verse 2| 
 Cm                  G# 
Sitaki tena kuishi kwa matarajio. 
D#                     Gm 
Na nino maana kutwa naenda mbio. 
Cm                G#        D#     Gm 
Nishateswa na mapenzi kisa salio, salio saliyo saliyo. 
Cm                 G# 
Siwezi sema sikupaswa kwa hapa. 
D#                  Gm 
La bda alepanga niwe hapa ni Mungu. 
Cm               G# 
Anategua kwa mafungu. 
 D#                   Gm 
Ikilalamika sana takufuru Mungu. 
Cm                  G# 
Natumia vikali, pombe, sigara kari. 
D#                 Gm 
Kombe end po najingiza kwenye hatari. 
Cm                G# 
Nisha unga pakubwa nikala padogo. 
D#                 Gm 
Shafanya makubwa mahali pa kawa kidogo. 
 
|Chorus| 
Cm        G#      D#                Gm 
Sometimes not okay naoma na kuteleza sio 
Cm         G#            D#                 Gm 
kuanguka na pale tukikosea ndiyo somo letu la kujifunza. 
Cm        G#        D#                 Gm 
Sometimes not okay naoma na kuteleza sio 
Cm         G#            D#                 Gm 
kuanguka na pale tukikosea ndiyo somo letu la kujifunza. 
 
|Verse 3| 
Hey hey uh ku kujifunza, ku jifunza. 
Napenzi manifundisha roho mbaya. 
Watu wamenifundisha ubaya kuna watu wana roho mbaya. 
Japokuwa mi sio mtu mbaya. 
Na maana kiniiona kiniona niko mwenyewe mwenyewe. 
Sio kama napenda unavyoona kuwa mwenyewe. 
Nishampenda Mona Lisa kwenye mapenzi yake Leta ya Salisa. 
Yote kumi laki saa sita alichokuwa mtoto wa Kanisa Lisa. 
Natumia vicari pombe sigara kari kombe na naginga za kwenye 
hatari nisha unga pakubwa nikala padogo shafanya makubwa mahali pa kawa kidogo. 
 
|Chorus| 
Sometimes not okay naoma nakuteleza sio 
kuanguka na pale tukikosea ndiyo somo letu la kujifunza. 
Sometimes not okay naoma nakuteleza sio 
kuanguka na pale tukikosea ndiyo somo letu la kujifunza. 
 
|Outro| 
Eh Uh kuji funsta   A kuji funsta a. 
Music. 

Аппликатуры аккордов
Gm
3
G#
4
D#
3
Cm
3
Как поет Ucho Gun

© 2017 – 2025 lalatracker.com

Если есть что сказать, пиши сюда lalatracker.help@gmail.com